WAITARA ATAKA KASI UJENZI WA DARAJA LA KIYEGEA
NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mwita Waitara amesikitishwa na kitendo ujenzi wa daraja ya Kiyegea kufaniyika kwa kusuasua ambapo ameagiza Wakala wa Barabara(TANROADS)mkoa wa Morogoro kumpelekea taarifa ya ujenzi huo. Waitara alitoa agizo hilo juzi alipofanya ziara ya kushitukiza usiku kwa ajili ya kukagua ujenzi huo ambapo alisikitishwa na ujenzi huo ambao ulikuwa ukamilike
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed